msanii wa toka zama, Lady Jay Dee katika interview moja alinieleza kuwa hapendi kutoa nyimbo kila siku. kwa sababu utunzi huchukua muda na anahitaji huo muda, tazama https://youtu.be/XhNuhYEHRH8
Tag: ENTERTAINMENT
ZARI- Mimi na Diamond tumesaidiana kujulikana
zari katika interview moja, kuhusu iwapo Diamond Platnumz amemsaidia kujulikana, alisema kuwa, yeye kuwa na diamond kumewasaidia wote wawili. Hii ni kinyume na watu wasemavyo kuwa Diamond ndiyr aliyemsaidia. alisema haya "Naweza kusem ndiyo na hapana, ndiyo kwa sababu sahivi tumekuwa couple yenye nguvuĀ watu wanapenda kutuongelea sana na vitu kama hivyo hata hivyo kabla… Continue reading ZARI- Mimi na Diamond tumesaidiana kujulikana
Chidi Benz atiwa mbaroni tena kwa tuhuma za dawa za kulevya.
Mazoea yanatabu.Ni maneno ya kweli na kamwe hayakosei.Mkumbuke msanii mkongwe wa bongo fleva chidi Benz! Aliwahi kamatwa kwa tuhuma za dawa za kulevya na hata kupelekwa katika taasisi ya marekebisho kwani dawa za kulevya zilikua zimevuruga akili kupindukia. Chidi alikiri makosa, akakubali kusaidiwa lakini sasa, amegonga vichwa vya habari kwa kukamatwa kwa mara nyingine kwa… Continue reading Chidi Benz atiwa mbaroni tena kwa tuhuma za dawa za kulevya.
SAM WA UKWELI -Wanadada Wananitafuta sana niwape kiki
Mwanamuziki wa tangu zama kutoka tanzania Sam Wa Ukweli amekiri kusakwa na wanadada wakiwa na madhumuni ya kutoka katika showbiz -hivyo basi wanamtumia sana ili awape kiki. Mwanamuziki huyu amedai kuwa ana ujio mpya na hvyo basi mafans wake wawe tayari ka vibao vitakavyotikisa afrika mashariki.hapo awali, sam a ukweli aligonga vichwa vya habari baada… Continue reading SAM WA UKWELI -Wanadada Wananitafuta sana niwape kiki