ENTERTAINMENT, swahili

ZARI- Mimi na Diamond tumesaidiana kujulikana

zari katika interview moja, kuhusu iwapo Diamond Platnumz amemsaidia kujulikana, alisema kuwa, yeye kuwa na diamond kumewasaidia wote wawili. Hii ni kinyume na watu wasemavyo kuwa Diamond ndiyr aliyemsaidia. alisema haya "Naweza kusem ndiyo na hapana, ndiyo kwa sababu sahivi tumekuwa couple yenye nguvuĀ  watu wanapenda kutuongelea sana na vitu kama hivyo hata hivyo kabla… Continue reading ZARI- Mimi na Diamond tumesaidiana kujulikana

English, ENTERTAINMENT, swahili

Chidi Benz atiwa mbaroni tena kwa tuhuma za dawa za kulevya.

Mazoea yanatabu.Ni maneno ya kweli na kamwe hayakosei.Mkumbuke msanii mkongwe wa bongo fleva chidi Benz! Aliwahi kamatwa kwa tuhuma za dawa za kulevya na hata kupelekwa katika taasisi ya marekebisho kwani dawa za kulevya zilikua zimevuruga akili kupindukia. Chidi alikiri makosa, akakubali kusaidiwa lakini sasa, amegonga vichwa vya habari kwa kukamatwa kwa mara nyingine kwa… Continue reading Chidi Benz atiwa mbaroni tena kwa tuhuma za dawa za kulevya.